2 Chronicles 10:18

18 aMfalme Rehoboamu akamtuma Adoniramu
Kiebrania ni Hadoramu.
aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu.
Copyright information for SwhKC